
Beyonce nae anacho!!

Jlo nae anavyooo!!


Kumchisha sio issue now days.....ni top dress na leggings
Na mie nilihudhuria Kill Award...pembeni model wangu Dinna ..ni mambo ya 8020 hayo .....ahsante Father Kidevu kwa Picha www.blog.co.tz/mrocky
Kijani hutilia mwilini.......
Kaka Michuzi aliwakilisha ni alikuwa FULL white...kama chamilion lol.. nimependa nguo ya Hafsa hili ni bazee hili ina limetupiwa na kitambaa chenye rangi za TZ kweli huu ubunifu :Picha ahsante Kaka Michuzi
Kanga ikipangiliwa hutulia.... hakika amependeza picha:Kaka Michuzi
That Ray to thee C baada ya kukabidhiwa tuzo yake ya mwimbaji bora wakike...Kivazi matata..uyoga style
Maimarth wa Jesse akiwakilisha na Tibaigana style na top dress
Nilizimikia huu mguu kama kuna hereni hapo
...Nimependa style ya kofia..hata pozi
the same as here...kofia na pozi...top na hereni make up ndo usiseme
ni mmechisho kwa kwenda mbele
pozi...kapri..top ...jewellers...kiatu
Mambo ya kiafrika yakimixiwa na kizungu huwa hivi!!......THANKS Jestina
Top dress...leggings...the pouse...kacute!!
Hair style...top..so Classic..Neema umeshatua Bongo
Hurrey thats my Girl...Handbag chata gani iyoo...white with red ni taamu
I love the shoe...na rangi ya kucha
Hujagundua ana Tibaigana...Leggings...Top ....Apple Green...Handbag.
I love the shoes Most
Mambo ya vivazi vya usiku..Hellow Wa mjini kasoro bahari
Hellow!! i love this style...huyu ni bi Harusi Lady Jay Dee aliamua kutoka na style ya pekee
Kama hii imetulia mshono wa juu lakini hiyo mshono wa chini..aka sijapenda
Hii nimependa kuanzia juu na ilivyobana...hata huku chini tausi style sio mbaya...BUT.....
Woa ningekuwa mie i'll go for this simpla and classic
Mikanda ya maji hiyo vaa iwapo maziwa mazito, yanahitaji suport kwa nguo isiyo na mikono au wazi
Vaa hii kama nguo yako iko wazi nyuma backless



K LYN.....ndani ya strasparent na skin jeans!!
ASHANT....ndani ya trassparent...Picha shavu kutoka kwa Sheria...mzee wa Pamba
Duh bora ziende at last nasi mabonge nyanya wenye shape za kibantu ..... wo! wo! wo!...tutapata size na jeans na tuvae tuenjoy



HAYA haya ndo mavazi ya mtoko. sherehe especial kwa Bi Harusi kwenye kitchen Part au send off....





Naomba nikukumbushe hizi zinabeba kwenye mitoko ya usiku jamani kama harusi nk..... HOPE MNAMKUMBUKA my sis sophy so zinaenda saana na evening dress...ukikutwa nayo mchana watakucheka watu...ila wala inategemea mwaya uko maeneo gani kama picha hii hapa chini