SPONSORED BY MERCY G BEAUTY PARLOUR

NEW ARRIVALS 8020 FASHIONS

Saturday, November 07, 2009

WADAU KIJIWE HICHO CHA MAMBO YA UREMBO

HAYA WADAU NAWATAMBULISHA KATIKA KIJIWE KINGINE SHEAR ILLUSIONS...HUKO UTAPATA KUJUA MASUALA TOFAUTI YA UREMBO NA WAO WENYEWE WATAKUUZIA UREMBO KUPITIA MADUKA YAO YALIYOKO JIJINI NA ARUSHA NA HIVI KARIBUNI UTAWEZA NUNUA BIDHAA KUTOKA KATIKA COMPUTER YAKO


WAMEKULETEA TOPIC YA

"YOUR NAILS ARE WHAT YOU EAT"


ZAMA HUMU UJIONEE

SHEAR ILLUSIONS


Thursday, November 05, 2009

WEARING THE RIGHT PERFUM


Wearing the right perfume is a difficult task. Some of us find it hard to wear the right type of perfume. For those who find it difficult deciding, here is a simple guide to help you wear the right perfume.



HAYA WADAU MPOO HAPO MNAOPATA SHIDA YA JINSI YA KUCHAGUA PERFUM IPI UIPAKE WAPI KWA WAKATI UPI...HAYA TIPS HIZO UTAITAMBUAJEEE....ZAMA BONGO UREMBO UKAELIMIKE  KWENYE MAMBO YA UREMBO


"When choosing the perfume, make sure you like its scent. Do not wear a perfume just because it is ‘in fashion’ or fashion statement of the season. Make sure that the smell fits you and goes with your personality."

NEW ARRIVALS 8020 FASHIONS

ALL THOSE LOOK AVAILABLE @ 8020FASHIONS........TUNAPATIKANA KATI YA SINZA MORI NA MAPAMBANO MADUKA YA BLUE...OPPOSITE NA PETROL STATION YA GBP...KARIBUNI NYOTE
kwa mawasiliano zaidi SIMU::0784 418941 EMAIL:shamyomy@yahoo.com

















vivazi bei inaanzia 130,000 kushuka chini..pungufu unaongea karibun!! 

MISS MUMBAI "Roshan Khambatta"

HAWA WAREMBO WA INDIA WAZURI MNOO...NA UKIONGEZEA HAYA MAVAZI YAO YA KIHINDI NDO BALAA...thank sis Rehema wa K







Tuesday, November 03, 2009

NEW ARRIVAL "SHOES 4 LESS" KWA OLIVIA!!

VIATUZI!! VIATUZIIII!!...VIATUUU NIMEKUJA NI PALE PALE KWENYE VIATU BOMBA NA VYA UKWELI KUTOKA "UGHAIBUNI" UINGEREZA,....... TUPO SEA VIEW,OCEAN ROAD PLOT NO 10 TUNATAZAMANA NA BP KWA MAWASILIANO PIGA SIMU 0715850855 ......KARIBUNI NYOTEE!!


mabiharusiiiii viatu ndo ivyoooooo mshindwe nyie











mama Obama style!! 2mekumbukwa






























waleee wenzangu wa gladiators....zipo choice na rangi yako tu

WABONGO KWA KU2NGA SIWAWEZI!!

HIZI CHENI WANAZIITA "UKO JUU" 
...nilivyosikia mwenyewe nilizima...wink

 

 
  
HI VIKOTI WANAVIITA "VIBAJAJI" ...upo hapo chezea sie!!

 



Monday, November 02, 2009

NAMPENDA PIA JLO!!


 

MY HAIR DO!!


 
 
 

WE CARE COUNSELING SERVICE!!

Ushauri kwa njia ya simu

Kupata ushauri kwa njia ya simu ni kama kuongea na mshauri uso kwa uso lakini njia hii ni kutumia simu kuongea na mshauri. Njia hii ni nzuri sana kwa watu ambao hawataki kuonana na mshauri ana kwa ana na pia hawana nafasi ya kumfuata mshauri alipo.

Umuhimu wa kupata ushauri kwa njia ya simu

Tunaelewa kwamba maisha ni magumu na kuna saa wote tunahitaji mtu wa kuongea nae na kutupa ushauri, wote tunahitaji msaada wa kimawazo na mtu na mtu ambaye tunaweza kumuamini kutupa ushauri . Ushauri kwa njia ya simu ni njia ya uhakika ya kupata ushauri kwa njia ya siri, uhakika na amani.

Walengwa

Walengwa ni watu ambao wako kwenye mahusiano ya kimapenzi, kifamilia, kirafiki na pia watu ambao wanahitaji ushauri kwa ajili ya maswala mengine ya kimaisha. Ushauri unaweza kutolewa kwa watu wawili walioko kwenye mahusiano ata kama hawako kwenye eneo moja.


Matatizo tutakayo deal nayo ni


* Abuse (Physical, Sexual, Emotional) (unyanyasaji)
* Adultery, ( kutokuwa na uaminifu wa mapenzi)
* anger, (hasira zisizoisha)
* conflict, ( ugomvi)
* Depression, ( msongo wa mawazo)
* forgiveness (kusamehana)
* Frustration (kuchanganyikiwa na mawazo)


Faida


* Hutajulikana, watu wengine hawapendi kujulikana wao ni kina nani
* Ni njia rahisi kuipata, unaweza kupata ushauri kwa wakati unaotaka
* Ni ushauri wa haraka na usiokuwa na gharama kubwa.

KAA TAYARIIIIIIII TUNAKUJAAAA!!!


We CARE counseling services. (Call center)

Counseling by Phone

Counseling by phone is just like having a face-to-face counseling session except you're talking to a trained counselor over the phone.

These work very well for people who face difficulties on accessing counseling, or prefer not to be in a face to face situation with a counselor.

Counseling via phone


We understand that, Life is not easy; there are times when we all need support, encouragement and someone we can trust to talk to about certain situations. Telephone Counseling, provides the reliability of a quiet and comfortable environment where you can find peace and relaxation while getting support.

Who is it for?

Relationship counseling is for people in relationships and single people. Telephone counseling sessions can be by yourself or with you and your partner, even if your partner is at a different location.

Benefits

  • It is anonymous. Some people prefer anonymity for different reasons.
  • It is convenient. You can access counseling when it suits you.
  • It is time-effective. You don't need to take time off work or travel anywhere.
  • It can be cost-effective. Travel costs, child-care costs etc can be eliminated.
  • You may feel more comfortable talking via phone or short messages system about your problems than talking about them face to face
  • No fear of criticism, judgment or misunderstanding.

The Problems we deal with.

After a well done research, it was revealed that most of the problems people are facing in relationships are:

  • Abuse (Physical, Sexual, Emotional)
  • Adultery
  • anger
  • conflict
  • Depression
  • forgiveness and
  • Frustration.
STAY TUNEED.....WE ARE COMING!!!

NOELLA's KITCHEN PARTY


Hair do...zao zimenikunaa mnoo kumbe yebo yebo zinaweza tumika siku muhimu kama hii ...ni vile tu utakavyoiaccesorize...nimependa UBUNIFU HUU
UGONJWA WAUMWELII....bora tupumzishe chungu...wakati wa matunda sasa








aliyekwambia zawadi za kitchen party zinafungwa kwenye mabox nani...hii ndo style ya mfungo mpya nimeipenda!!
Blog Widget by LinkWithin